Tuesday, January 31, 2012

HATIMAYE MWANZA KWANZA WAFIKISHA RAMBIRAMBI ZAO KWA MAMA WA MAREHEMU MSANII MO-CHELA ALIYEUAWA MWEZI ULIOPITA.


Kutoka kushoto ni Wasanii wa Rock City 'Mwanza Kwanza' J.Aden, Rajabu, G.Rico, Sisar Madini, Sajna, PMP Silva, Festudo na Shira wakiwa safarini na meli ya Mv Nyehunge kuelekea Ukerewe Nyumbani kwao marehemu Mo-Chela ambako ndiko alikozikwa nia ikiwa ni kuwasilisha rambirambi zao kwa mama wa marehemu.
Wawakilishi hao walifika salama salmini kisiwani Ukerewe.
Safari kuelekea makaburi ya ukoo wa marehemu.
Hapa ndipo ulipolala mwili wa Mo-Chela.
Mara baada ya kukamilisha ratiba ya sala 'Wanamwanza Kwanza' walikusanyika nyumbani kwao marehemu
Mtangazaji wa Kiss Fm Ezden The Rocca akiwa na Janet Buchela ambaye ni dada wa marehemu kwenye familia yao walizaliwa wawili tu hivyo dada huyu kaachwa mpweke.
Mwenyekiti wa Mwanza Kwanza Philbert Kabago akimkabidhi rambirambi Bi. Prudenciana Ngereza ambaye ni mama mzazi wa marehemu Mo-Chela kiasi cha shilingi 500,000/= fedha taslimu ambapo kabla fedha nyingine zilitumika katika ujenzi wa kaburi shilingi 152,000/=, kundi lake alilokuwa akiimbia lilichangiwa shilingi 100,000/= na huduma nyingine muhimu za kukamilisha msiba.
Chakula cha pamoja kiliandaliwa na mama yetu nayo menyu ilikuwa ni full kujisevia.
"Usiseme kAMA nInaPeNDa kULa..!!" @Sajna Mkali wa rnb Bongo Fleva aliyeshiriki vyema kuhakikisha zoezi zima linafanikiwa .


PICHA ZA UKUTANI
Marehemu Mo-Chela alipokuwa kuwa mdogo miaka miwili hivi....
Marehemu alipokuwa mchanga....
Marehemu Mo-Chela katika majukwaa yake ya mwanzoni hapa ilikuwa Laverna Beach 2009.
Marehemu katika swagga alikuwa wamo......
Enzi za uhai wake Marehemu Mo-chela katika picha ya pamoja na mama yake mzazi.
Sissar Madini akisaini autografu' za masupastaa wa kesho wa pande za UK'  kutoka       http://www.gsengo.blogspot.com/                                                                                                                                                                             

HATIMAYE MWANZA KWANZA WAFIKISHA RAMBIRAMBI ZAO KWA MAMA WA MAREHEMU MSANII MO-CHELA ALIYEUAWA MWEZI ULIOPITA.


Kutoka kushoto ni Wasanii wa Rock City 'Mwanza Kwanza' J.Aden, Rajabu, G.Rico, Sisar Madini, Sajna, PMP Silva, Festudo na Shira wakiwa safarini na meli ya Mv Nyehunge kuelekea Ukerewe Nyumbani kwao marehemu Mo-Chela ambako ndiko alikozikwa nia ikiwa ni kuwasilisha rambirambi zao kwa mama wa marehemu.
Wawakilishi hao walifika salama salmini kisiwani Ukerewe.
Safari kuelekea makaburi ya ukoo wa marehemu.
Hapa ndipo ulipolala mwili wa Mo-Chela.
Mara baada ya kukamilisha ratiba ya sala 'Wanamwanza Kwanza' walikusanyika nyumbani kwao marehemu
Mtangazaji wa Kiss Fm Ezden The Rocca akiwa na Janet Buchela ambaye ni dada wa marehemu kwenye familia yao walizaliwa wawili tu hivyo dada huyu kaachwa mpweke.
Mwenyekiti wa Mwanza Kwanza Philbert Kabago akimkabidhi rambirambi Bi. Prudenciana Ngereza ambaye ni mama mzazi wa marehemu Mo-Chela kiasi cha shilingi 500,000/= fedha taslimu ambapo kabla fedha nyingine zilitumika katika ujenzi wa kaburi shilingi 152,000/=, kundi lake alilokuwa akiimbia lilichangiwa shilingi 100,000/= na huduma nyingine muhimu za kukamilisha msiba.
Chakula cha pamoja kiliandaliwa na mama yetu nayo menyu ilikuwa ni full kujisevia.
"Usiseme kAMA nInaPeNDa kULa..!!" @Sajna Mkali wa rnb Bongo Fleva aliyeshiriki vyema kuhakikisha zoezi zima linafanikiwa .


PICHA ZA UKUTANI
Marehemu Mo-Chela alipokuwa kuwa mdogo miaka miwili hivi....
Marehemu alipokuwa mchanga....
Marehemu Mo-Chela katika majukwaa yake ya mwanzoni hapa ilikuwa Laverna Beach 2009.
Marehemu katika swagga alikuwa wamo......
Enzi za uhai wake Marehemu Mo-chela katika picha ya pamoja na mama yake mzazi.
Sissar Madini akisaini autografu' za masupastaa wa kesho wa pande za UK'  kutoka       http://www.gsengo.blogspot.com/                                                                                                                                                                             

Shame On Me

..

Can you even believe that it's taken me more than twenty-four hours to comment upon the news of Paul Reubens joining the cast of Charlie Kaufman's new movie? More than shame on me - shame on me that ripples forwards and backwards through time so that every single person I ever will love or have ever loved or will love someone I loved or loved someone I once loved feels the weight of the shame in the pit of their very guts.

Anyway yes it is true, Paul Reubens joined the cast of Charlie Kaufman's new movie, and it is good. So so good. Although now that Paul Reubens is in the movie its title of Frank or Francis is taking on a whole new meaning that I'm going to have trouble keeping out of my mind...
.
.

Shame On Me

..

Can you even believe that it's taken me more than twenty-four hours to comment upon the news of Paul Reubens joining the cast of Charlie Kaufman's new movie? More than shame on me - shame on me that ripples forwards and backwards through time so that every single person I ever will love or have ever loved or will love someone I loved or loved someone I once loved feels the weight of the shame in the pit of their very guts.

Anyway yes it is true, Paul Reubens joined the cast of Charlie Kaufman's new movie, and it is good. So so good. Although now that Paul Reubens is in the movie its title of Frank or Francis is taking on a whole new meaning that I'm going to have trouble keeping out of my mind...
.
.

Today's Fanboy Delusion

Today I'd rather be...


... keeping myself hydrated with Hugh Jackman.


This happens every couple of months - I think I've exhausted every picture there is of Hugh Jackman playing at the beach or by a pool that there is to be posted, and suddenly I find a new batch, and all is good again... for a couple of months, until I need to feed the beast, as it were, once more. Thankfully Hugh Jackman is the gift that keeps giving. These shots are from way back in 2009, and save a couple they are entirely new to my eyes. Oh, blessed be. Hit the jump for all twenty-seven of 'em.



Today's Fanboy Delusion

Today I'd rather be...


... keeping myself hydrated with Hugh Jackman.


This happens every couple of months - I think I've exhausted every picture there is of Hugh Jackman playing at the beach or by a pool that there is to be posted, and suddenly I find a new batch, and all is good again... for a couple of months, until I need to feed the beast, as it were, once more. Thankfully Hugh Jackman is the gift that keeps giving. These shots are from way back in 2009, and save a couple they are entirely new to my eyes. Oh, blessed be. Hit the jump for all twenty-seven of 'em.